Kuna mtu aliwahi kusema hivi
"Life is short, live it. Love is rare, grab it. Anger is bad, dump it. Fear is awful, face it. Memories are sweet, cherish it."
Akiwa na maana ya kusema kwamba;
"Maisha ni mafupi, yaishi. Upendo ni adimu kuupata, uchukue kwa haraka na ukamate. Maana yake ukipata anayekupenda usiruhusu akaenda zake Bali uhakikishe unamshikilia vilivyo.
Hasira ni mbaya, itupe jalalani ili moyo wako uwe na Amani pamoja na Furaha kwa ajili ya kufurahia maisha aliyokupa Mungu.
Hofu ni mbaya, ikabili alafu uishinde.
Kumbukumbu ni tamu, zikumbuke sio uzikumbuke tu bali jifunze kutokana na kumbukumbu hizo ili nyakati zijazo uweze uweze kuwa bora zaidi ya zamani.
Kwahiyo hivyo vitu ukivifanyia kazi na kuvitekeleza hakika kuna mahali utaenda.
Philanthropist.
0 comments: